Luka 22:22 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192122 Kwa maana Mwana wa Adamu aenda zake kama ilivyoamriwa; lakini ole wake mtu yule ambae anasalitiwa nae! Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema22 Kweli Mwana wa Mtu anakwenda kuuawa kama ilivyopangwa, lakini ole wake mtu anayemsaliti.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND22 Kweli Mwana wa Mtu anakwenda kuuawa kama ilivyopangwa, lakini ole wake mtu anayemsaliti.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza22 Kweli Mwana wa Mtu anakwenda kuuawa kama ilivyopangwa, lakini ole wake mtu anayemsaliti.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu22 Mwana wa Adamu anaenda zake kama ilivyokusudiwa. Lakini ole wake mtu huyo amsalitiye!” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu22 Mwana wa Adamu anaenda zake kama ilivyokusudiwa. Lakini ole wake mtu huyo amsalitiye.” Tazama sura |