Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 22:17 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

17 Akakipokea kikombe, akashukuru, akasema: Twaeni hiki mkagawanye ninyi kwa ninyi;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

17 Kisha akatwaa kikombe cha divai, akashukuru, akasema, “Pokeeni, mgawane.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

17 Kisha akatwaa kikombe cha divai, akashukuru, akasema, “Pokeeni, mgawane.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

17 Kisha akatwaa kikombe cha divai, akashukuru, akasema, “Pokeeni, mgawane.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

17 Baada ya kukichukua kikombe, akashukuru, akasema, “Chukueni hiki mnywe wote.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

17 Akiisha kukichukua kikombe, akashukuru, akasema, “Chukueni hiki mnywe wote.

Tazama sura Nakili




Luka 22:17
15 Marejeleo ya Msalaba  

Akawaagiza makutano waketi katika majani; akaitwaa ile mikate mitano na zile samaki mbili, akatazama juu mbinguni, akabariki, akamega, akawapa wanafunzi ile mikate, wanafunzi wakawapa makutano.


akaitwaa ile mikate saba na vile visamaki, akashukuru, akavimega, akawapa wanafunzi wake, nao wanafunzi wakawapa makutano.


Walipokuwa wakila, Yesu akatwaa mkate, akaubariki, akaumega, akawapa wanafunzi wake, akasema, Twaeni, mle; huu ni mwili wangu.


Nao wakila, akatwaa mkate, akahariki, akamega, akawapa, akasema, Twaeni; huu ni mwili wangu.


Akatwaa mkate, akashukuru, akaumega, akawapa, akisema, Huu ni mwili wangu unaotolewa kwa ajili yenu; fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.


Wakafanya hivi, wakawaketisha wote. Akaitwaa ile mikate mitano na zile samaki mbili, akatazama juu mbinguni, akavibariki, akavimega, akawapa wanafunzi, kuviweka mbele ya makutano.


Yeye aadhimishae siku, kwa Bwana aiadhimisha; na yeye asiyeadhimisha siku, haiadhimishi kwa Bwana; nae alae, hula kwa Bwana, kwa maana amshukuru Mungu; nae asiokula, hali kwa Bwana, nae amshukuru Mungu.


Kikombe kile cha baraka tukibarikicho, je! si ushirika wa damu ya Kristo? Mkate ule timmegao, si ushirika wa mwili wti Kristo?


Kwa maana mimi nalipokea kwa Bwana niliyowakhubirini, ya kuwa Bwana Yesu usiku ule aliotolewa alitwaa mkate,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo