Luka 21:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192115 Kwa maana mimi nitawapeni kinywa na hekima, ambayo watesi wenu hawataweza kuikana wala kushindana nayo. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema15 kwa sababu mimi mwenyewe nitawapeni ufasaha wa maneno na hekima, hata maadui zenu hawataweza kustahimili wala kupinga. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND15 kwa sababu mimi mwenyewe nitawapeni ufasaha wa maneno na hekima, hata maadui zenu hawataweza kustahimili wala kupinga. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza15 kwa sababu mimi mwenyewe nitawapeni ufasaha wa maneno na hekima, hata maadui zenu hawataweza kustahimili wala kupinga. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu15 Kwa maana nitawapa maneno na hekima ambayo hakuna hata adui yenu mmoja atakayeweza kushindana nayo wala kuipinga. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu15 Kwa maana nitawapa maneno na hekima ambayo hakuna hata adui yenu mmoja atakayeweza kushindana nayo wala kuipinga. Tazama sura |