Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 21:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

15 Kwa maana mimi nitawapeni kinywa na hekima, ambayo watesi wenu hawataweza kuikana wala kushindana nayo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 kwa sababu mimi mwenyewe nitawapeni ufasaha wa maneno na hekima, hata maadui zenu hawataweza kustahimili wala kupinga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 kwa sababu mimi mwenyewe nitawapeni ufasaha wa maneno na hekima, hata maadui zenu hawataweza kustahimili wala kupinga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 kwa sababu mimi mwenyewe nitawapeni ufasaha wa maneno na hekima, hata maadui zenu hawataweza kustahimili wala kupinga.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Kwa maana nitawapa maneno na hekima ambayo hakuna hata adui yenu mmoja atakayeweza kushindana nayo wala kuipinga.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Kwa maana nitawapa maneno na hekima ambayo hakuna hata adui yenu mmoja atakayeweza kushindana nayo wala kuipinga.

Tazama sura Nakili




Luka 21:15
17 Marejeleo ya Msalaba  

kwa kuwa Roho Mtakatifu atawafundisha saa hiyo hiyo yawapasavyo kuyanena.


Nanyi mtasalitiwa na wazazi wenu, na ndugu zenu, na jamaa zenu, na rafiki zenu, nao watawafisha wengine wenu.


Ndipo akaamsha akili zao, wapate kuyatambua maandiko matakatifu.


Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, wakaanza kusema kwa lugha mbalimbali, kama Roho alivyowajalia kutamka.


Na Paolo alipokuwa akitoa hoja zake katika khabari ya haki na kiasi na hukumu itakayokuja, Feliki akafanya khofu akajihu, Sasa enenda zako, nami nikipata wasaa nitakuita tena.


Agrippa akamwambia Paolo, Kwa maneno machache wataka kunifanya kuwa Mkristo.


lakini hawakuweza kushindana na hekima yake wala na Roho aliyosema nayo.


na mimi pia, nipewe usemi, kwa kufumhua kinywa changu kwa ujasiri, niikhubiri siri ya Injili,


Lakini mtu wa kwemi akipungukiwa hekima, aombe dua kwa Mungu, awapae wote kwa ukarimu, wala hakemei; nae atapewa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo