Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 20:44 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

44 Daud, bassi, amwita Bwana, na amekuwaje Mwana wake?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

44 Ikiwa Daudi anamwita yeye, ‘Bwana,’ basi, atakuwaje mwanawe?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

44 Ikiwa Daudi anamwita yeye, ‘Bwana,’ basi, atakuwaje mwanawe?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

44 Ikiwa Daudi anamwita yeye, ‘Bwana,’ basi, atakuwaje mwanawe?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

44 Ikiwa Daudi anamwita yeye ‘Bwana,’ basi atakuwaje mwanawe?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

44 Ikiwa Daudi anamwita yeye ‘Bwana,’ basi atakuwaje mwanawe?”

Tazama sura Nakili




Luka 20:44
10 Marejeleo ya Msalaba  

Angalia, mwanamke bikira atachukua mimba, nae atazaa mwana, Na watamwita jina lake Immanuel; tafsiri yake, Mungu kati yetu.


maana leo katika mji wa Daud amezaiiwa Mwokozi kwa ajili yenu, ndiye Kristo Bwana.


Hatta niwafanyapo adui zako kuwa chini ya miguu yako.


Hatta watu wote walipokuwa wakimsikiliza, akawaambia wanafunzi wake,


na katika bao alitoka Kristo kwa jinsi ya mwili, aliye juu ya mambo yote, Mungu, anaehimidiwa milele. Amin.


Hatta ulipowadia utimilifu wa wakati, Mungu alimtuma Mwana wake, amezaliwa na mwanamke, amezaliwa chini ya sharia,


Na bila shaka siri ya utawa ni kuu. Mungu alidhibirishwa katika mwili, alihesabiwa kuwa na wema katika roho, alionekana na malaika, alikhubiriwa katika mataifa, aliaminiwa katika ulimwengu, alichukuliwa juu katika utukufu.


Mimi Yesu nalimtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina na Mzao wa Daud, ile nyota yenye kungʼaa ya assubuhi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo