Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 20:40 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

40 Wala hakuthubutu mtu kumwuliza neno baada ya haya.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

40 Walisema hivyo kwa sababu hawakuthubutu kumwuliza tena maswali mengine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

40 Walisema hivyo kwa sababu hawakuthubutu kumwuliza tena maswali mengine.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

40 Walisema hivyo kwa sababu hawakuthubutu kumwuliza tena maswali mengine.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

40 Baada ya hayo hakuna mtu aliyethubutu kumuuliza maswali tena.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

40 Baada ya hayo hakuna mtu aliyethubutu kumuuliza maswali tena.

Tazama sura Nakili




Luka 20:40
5 Marejeleo ya Msalaba  

Hakuweza mtu kumjibu neno; wala hakuthubutu mtu tangu siku ile kumwuliza neno tena.


Yesu, alipoona kwamba amejibu kwa busara, akamwambia, Wewe huwi mbali na ufalme wa Mungu. Wala hakuthubutu mtu kumsaili neno tena tokea hapo.


Nao hawakuweza kumjibu kwa haya.


Baadhi ya waandishi wakajibu wakasema, Mwalimu, umesema vema.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo