Luka 20:35 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192135 bali wao watakaohesabiwa wamestahili kuupata ulimwengu ule, na ufufuo wa wafu, hawaoi wala hawaozwi, Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema35 lakini wale ambao Mungu atawawezesha kushiriki ule wakati wa ufufuo, hawataoa wala kuolewa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND35 lakini wale ambao Mungu atawawezesha kushiriki ule wakati wa ufufuo, hawataoa wala kuolewa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza35 lakini wale ambao Mungu atawawezesha kushiriki ule wakati wa ufufuo, hawataoa wala kuolewa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu35 Lakini wale ambao wamehesabiwa kwamba wanastahili kupata nafasi katika ulimwengu ule na katika ufufuo wa wafu, hawaoi wala hawaolewi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu35 Lakini wale ambao wamehesabiwa kwamba wanastahili kupata nafasi katika ulimwengu ule na katika ufufuo wa wafu, hawaoi wala hawaolewi. Tazama sura |