Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 20:26 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

26 Wala hawakuweza kumshika kwa neno lake mbele ya watu: wakastaajabia jawabu lake, wakanyamaza.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Hawakufaulu kumnasa kwa neno lolote pale mbele ya watu na hivyo wakakaa kimya wakilistaajabia jibu lake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Hawakufaulu kumnasa kwa neno lolote pale mbele ya watu na hivyo wakakaa kimya wakilistaajabia jibu lake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Hawakufaulu kumnasa kwa neno lolote pale mbele ya watu na hivyo wakakaa kimya wakilistaajabia jibu lake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Wakashindwa kumkamata kwa yale aliyokuwa amesema hadharani. Nao wakashangazwa mno na majibu yake, wakanyamaza.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Wakashindwa kumkamata kwa yale aliyokuwa amesema hadharani. Nao wakashangazwa mno na majibu yake, wakanyamaza kimya.

Tazama sura Nakili




Luka 20:26
14 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwambia, Rafiki, uliingiaje humu nawe huna vazi la arusi? Akatekewa.


Waliposikia, wakataajabu, wakamwacha, wakaenda zao.


Na Mafarisayo waliposikia ya kwamba amewafumba kinywa wale Masadukayo, wakakusanyika pamoja.


Yesu aliposikia haya, akastaajabu, akawaambia wale waliomfuata, Amin, nawaambieni, Sijaona imani kubwa kama hii, hatta katika Israeli.


wakitaka kudaka neno kinywani mwake wapate kumshitaki.


Na aliposema haya, watu wote walioshindana nae wakatahayarika, mkutano wote wakafurahi kwa ajili ya mambo matukufu yaliyotendwa nae.


Wakamvizia wakatuma wapelelezi, nao wakajifanya kuwa wenye haki, illi wamnase kwa neno lake, kusudi wamtie katika enzi na mamlaka ya liwali.


Twajua ya kuwa mambo yote yasemwayo na torati huyanena kwa hao walio chini ya torati, illi killa kinywa kifumbwe, ulimwengu wote ukapasiwe na hukumu ya Mungu:


Maana wako wengi wasiotii, wenye maneno yasiyo maana, wadanganyaji, khassa wale waliotahiriwa,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo