Luka 20:26 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192126 Wala hawakuweza kumshika kwa neno lake mbele ya watu: wakastaajabia jawabu lake, wakanyamaza. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema26 Hawakufaulu kumnasa kwa neno lolote pale mbele ya watu na hivyo wakakaa kimya wakilistaajabia jibu lake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND26 Hawakufaulu kumnasa kwa neno lolote pale mbele ya watu na hivyo wakakaa kimya wakilistaajabia jibu lake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza26 Hawakufaulu kumnasa kwa neno lolote pale mbele ya watu na hivyo wakakaa kimya wakilistaajabia jibu lake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu26 Wakashindwa kumkamata kwa yale aliyokuwa amesema hadharani. Nao wakashangazwa mno na majibu yake, wakanyamaza. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu26 Wakashindwa kumkamata kwa yale aliyokuwa amesema hadharani. Nao wakashangazwa mno na majibu yake, wakanyamaza kimya. Tazama sura |