Luka 2:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19218 Katika inchi ile ile walikuwako wachungaji wakikaa makondeni usiku na kulinda kundi lao kwa zamu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Katika sehemu hizo, walikuwako wachungaji wakikesha usiku mbugani kulinda mifugo yao. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Katika sehemu hizo, walikuwako wachungaji wakikesha usiku mbugani kulinda mifugo yao. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Katika sehemu hizo, walikuwako wachungaji wakikesha usiku mbugani kulinda mifugo yao. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Katika eneo lile walikuwako wachungaji waliokuwa wakikaa mashambani, wakilinda makundi yao ya kondoo usiku. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Katika eneo lile walikuwako wachungaji waliokuwa wakikaa mashambani, wakilinda makundi yao ya kondoo usiku. Tazama sura |