Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 2:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Katika inchi ile ile walikuwako wachungaji wakikaa makondeni usiku na kulinda kundi lao kwa zamu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Katika sehemu hizo, walikuwako wachungaji wakikesha usiku mbugani kulinda mifugo yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Katika sehemu hizo, walikuwako wachungaji wakikesha usiku mbugani kulinda mifugo yao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Katika sehemu hizo, walikuwako wachungaji wakikesha usiku mbugani kulinda mifugo yao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Katika eneo lile walikuwako wachungaji waliokuwa wakikaa mashambani, wakilinda makundi yao ya kondoo usiku.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Katika eneo lile walikuwako wachungaji waliokuwa wakikaa mashambani, wakilinda makundi yao ya kondoo usiku.

Tazama sura Nakili




Luka 2:8
8 Marejeleo ya Msalaba  

Akamzaa mtoto wake wa kifungua mimba, akamfunga nguo za kitoto, akamlaza horini kwa sababu hawakuona nafasi katika nyumba ya wageni.


Malaika wa Bwana akawatokea, utukufu wa Bwana ukawangʼaria: wakaingiwa na khohi nyingi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo