Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 2:47 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

47 Wote waliomsikia wakataajahu kwa akili zake na majibu yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

47 Wote waliosikia maneno yake walistaajabia akili yake na majibu yake ya hekima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

47 Wote waliosikia maneno yake walistaajabia akili yake na majibu yake ya hekima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

47 Wote waliosikia maneno yake walistaajabia akili yake na majibu yake ya hekima.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

47 Wote waliomsikia walistaajabishwa na uwezo wake mkubwa wa kuelewa, na majibu aliyoyatoa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

47 Wote waliomsikia walistaajabishwa na uwezo wake mkubwa wa kuelewa, na majibu aliyoyatoa.

Tazama sura Nakili




Luka 2:47
13 Marejeleo ya Msalaba  

Na alipofika inchi yake, akawafundisha katika sunagogi yao, hatta wakashangaa, wakanena, Huyu amepata wapi hekima hii na miujiza hii?


Makutano waliposikia, wakashangaa kwa elimu yake.


Ikawa, Yesu alipomaliza maneno haya, makutano wakashangaa kwa mafundisho yake:


Wakashangaa kwa mafundisho yake; kwa sababu alikuwa akiwafundisha kama mtu mwenye mamlaka wala si kama waandishi.


Waandishi na makuhani wakini wakapata khabari wakatafuta jinsi ya kumwangamiza: maami walimwogopa, kwa sababu makutano yote walishangaa kwa elimu yake.


Ilipokuwa sabato, akaanza kufundisha katika sunagogi: wengi wakisikia, wakashangaa, akinena, Huyu amepata wapi haya? Na, Hekima gani hii aliyopewa huyu, na nini miujiza hii mikubwa inayotendeka kwa mikono yake?


Wote waliosikia wakataajabu kwa yale waliyoambiwa na wachungaji.


Ikawa baada ya siku tatu, wakamwona hekaluni, ameketi kati ya waalimu, akiwasikiliza, na kuwauliza.


Wakamshuhudia wote, wakayastaajabia maneno ya neema yaliyotoka kinywani mwake: wakanena, Huyu siye Mwana wa Yusuf?


wakashangaa mno kwa mafundisho yake, kwa sababu neno lake lilikuwa na uweza.


Wayahudi wakastaajabu, wakinena, Amepataje huyo kujua elimu, nae hajasoma?


Wale watumishi wakajibu, Hajanena kamwe mwana Adamu aliye yote kama huyu anavyonena.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo