Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 2:36 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

36 Kulikuwa na Auna, nabii mke, binti Fanueli, wa kabila ya Asher; nae kongwe wa siku nyingi, amekuwa na mume miaka saba baada ya ujana wake;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Palikuwa na nabii mmoja mwanamke, mzee sana, jina lake Ana, binti Fanueli, wa kabila la Asheri. Alikuwa ameishi na mumewe kwa miaka saba tangu alipoolewa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Palikuwa na nabii mmoja mwanamke, mzee sana, jina lake Ana, binti Fanueli, wa kabila la Asheri. Alikuwa ameishi na mumewe kwa miaka saba tangu alipoolewa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Palikuwa na nabii mmoja mwanamke, mzee sana, jina lake Ana, binti Fanueli, wa kabila la Asheri. Alikuwa ameishi na mumewe kwa miaka saba tangu alipoolewa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Tena alikuwako Hekaluni nabii mmoja mwanamke, jina lake Ana binti Fanueli, wa kabila la Asheri. Alikuwa mzee sana; naye alikuwa ameolewa na kuishi na mume kwa miaka saba tu, kisha mumewe akafa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Tena alikuwako Hekaluni nabii mmoja mwanamke, jina lake Ana binti Fanueli, wa kabila la Asheri. Alikuwa mzee sana; naye alikuwa ameolewa na kuishi na mume kwa miaka saba tu, kisha mumewe akafa.

Tazama sura Nakili




Luka 2:36
18 Marejeleo ya Msalaba  

hatta na wewe upanga utakupenya roho yako; illi yafumike mawazo ya mioyo mingi.


Akitokea yeye nae saa ileile, alimshukuru Mungu, akawapasha khabari zake watu wote waliokuwa wakitazamia ukombozi katika Yerusalemi.


Na siku zile nitawamwagia watumishi wangu wanaume na wauawake Roho yangu, Nao watatabiri,


Mtu huyu alikuwa na binti wane, mabikira, waliotabiri.


Bali killa mwanamke asalipo, au atoapo unabii, bila kufunika kichwa chake, yuaibisha kichwa chake; kwa maana yu sawa sawa nae aliyekata nywele zake.


KWA khabari za karama za roho, ndugu, sitaki mkose kufahamu.


Bassi imempasa askofu kuwa mtu asiyelaumiwa, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi na busara, mtu wa utaratibu, mkaribishaji, mfundishaji;


Mjane aandikwe, ikiwa umri wake amepata miaka sittini, isipungue, nae amekuwa mke wa mume mmoja,


Wa kabila ya Naftali thenashara elfu. Wa kaliila ya Manasse thenashara elfu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo