Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 2:33 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

33 Yusuf na mama yake wakawa wakistaajahu kwa yale yaliyonenwa juu yake;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Baba yake Yesu na mama yake walikuwa wakistaajabia maneno aliyosema Simeoni juu ya mtoto.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Baba yake Yesu na mama yake walikuwa wakistaajabia maneno aliyosema Simeoni juu ya mtoto.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Baba yake Yesu na mama yake walikuwa wakistaajabia maneno aliyosema Simeoni juu ya mtoto.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Naye Yusufu na mama yake mtoto wakastaajabu kwa yale yaliyokuwa yamesemwa kumhusu huyo mtoto.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Naye Yusufu na mama yake mtoto wakastaajabu kwa yale yaliyokuwa yamesemwa kumhusu huyo mtoto.

Tazama sura Nakili




Luka 2:33
8 Marejeleo ya Msalaba  

Alipokuwa katika kusema na makutano, mama yake na ndugu zake walikuwa wakisimama nje, wakitaka kusema nae.


Yesu aliposikia haya, akastaajabu, akawaambia wale waliomfuata, Amin, nawaambieni, Sijaona imani kubwa kama hii, hatta katika Israeli.


Wote waliosikia wakataajabu kwa yale waliyoambiwa na wachungaji.


Nao walipomwona wakashangaa sana; mama yake akamwambia, Mwanangu, kwani ukatutenda hivi? Tazama, baba yako na mimi tulikuwa tukikutafuta kwa huzuni.


Wala hawakuweza kumshika kwa neno lake mbele ya watu: wakastaajabia jawabu lake, wakanyamaza.


Watu wote wakashangaa kwa adhama yake Mungu. Hatta wote walipokuwa wakistaajabia mambo yote aliyoyafanya akawaambia wanafunzi wake,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo