Luka 2:33 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192133 Yusuf na mama yake wakawa wakistaajahu kwa yale yaliyonenwa juu yake; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema33 Baba yake Yesu na mama yake walikuwa wakistaajabia maneno aliyosema Simeoni juu ya mtoto. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND33 Baba yake Yesu na mama yake walikuwa wakistaajabia maneno aliyosema Simeoni juu ya mtoto. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza33 Baba yake Yesu na mama yake walikuwa wakistaajabia maneno aliyosema Simeoni juu ya mtoto. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu33 Naye Yusufu na mama yake mtoto wakastaajabu kwa yale yaliyokuwa yamesemwa kumhusu huyo mtoto. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu33 Naye Yusufu na mama yake mtoto wakastaajabu kwa yale yaliyokuwa yamesemwa kumhusu huyo mtoto. Tazama sura |