Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 2:28 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

28 mwenyewe akampokea mikononi mwake, akimhimidi Mungu, akasema,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Simeoni alimpokea mtoto Yesu mikononi mwake huku akimtukuza Mungu, akisema:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Simeoni alimpokea mtoto Yesu mikononi mwake huku akimtukuza Mungu, akisema:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Simeoni alimpokea mtoto Yesu mikononi mwake huku akimtukuza Mungu, akisema:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 ndipo Simeoni akampokea mtoto mikononi mwake na kumsifu Mungu, akisema:

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 ndipo Simeoni akampokea mtoto mikononi mwake na kumsifu Mwenyezi Mungu, akisema:

Tazama sura Nakili




Luka 2:28
13 Marejeleo ya Msalaba  

Akawakumbatia, akaweka mikono yake juu yao, akawabariki.


Akatwaa kitoto, akamweka kati kati yao, akamkumbatia, akawaambia,


Mariamu akasema, Moyo wangu wamwadhimisha Bwana,


Marra akafunguliwa kinywa na ulimi wake, akanena, akimbariki Mungu.


Atukuzwe Bwana, Mungu wa Israeli; Kwa kuwa amewajia watu wake na kuwakomboa.


Wachungaji wakarudi, wakimtukuza Mungu na kumhimidi kwa mambo yote waliyosikia, na waliyoona, kwa namna waliyoambiwa.


Bassi akaja hekaluni kwa roho: na wazee wake walipomleta mtoto Yesu, wamfanyie kwa desturi ya sharia,


Sasa wamrukhusu, Bwana, mtumishi wako kwa amani, Kama ulivyosema:


Tufuate:

Matangazo


Matangazo