Luka 2:26 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192126 Nae alikuwa amebashiriwa na Roho Mtakatifu ya kwamba haoni mauti kabla ya kumwona Kristo wa Bwana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema26 Roho Mtakatifu alikuwa amemhakikishia kwamba hatakufa kabla ya kumwona Kristo wa Bwana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND26 Roho Mtakatifu alikuwa amemhakikishia kwamba hatakufa kabla ya kumwona Kristo wa Bwana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza26 Roho Mtakatifu alikuwa amemhakikishia kwamba hatakufa kabla ya kumwona Kristo wa Bwana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu26 Roho wa Mungu alikuwa amemfunulia kuwa hatakufa kabla hajamwona Al-Masihi wa Bwana. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu26 Roho wa Mwenyezi Mungu alikuwa amemfunulia kuwa hatakufa kabla hajamwona Al-Masihi wa Bwana Mwenyezi. Tazama sura |