Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 2:22 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

22 Nazo siku za kutakasika kwao zilipotimia, kwa sharia ya Musa, wakamleta Yerusalemi, wampe Bwana;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

22 Siku zilipotimia za Yosefu na Maria kutakaswa kama walivyotakiwa na sheria, wazazi hao walimchukua mtoto, wakaenda naye Yerusalemu ili wamweke mbele za Bwana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

22 Siku zilipotimia za Yosefu na Maria kutakaswa kama walivyotakiwa na sheria, wazazi hao walimchukua mtoto, wakaenda naye Yerusalemu ili wamweke mbele za Bwana.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

22 Siku zilipotimia za Yosefu na Maria kutakaswa kama walivyotakiwa na sheria, wazazi hao walimchukua mtoto, wakaenda naye Yerusalemu ili wamweke mbele za Bwana.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

22 Ulipotimia wakati wa utakaso wake Mariamu kwa mujibu wa Torati ya Musa, basi Yusufu na Mariamu walimpeleka mtoto Yerusalemu, ili kumweka wakfu kwa Mwenyezi Mungu

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

22 Ulipotimia wakati wa utakaso wake Mariamu kwa mujibu wa Torati ya Musa, basi Yusufu na Mariamu walimpeleka mtoto Yerusalemu, ili kumweka wakfu kwa Mwenyezi Mungu

Tazama sura Nakili




Luka 2:22
4 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi akaja hekaluni kwa roho: na wazee wake walipomleta mtoto Yesu, wamfanyie kwa desturi ya sharia,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo