Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 2:21 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

21 Na zilipotimia siku nane za kumtahiri, alikwitwa jina lake Yesu, lile lililotajwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Siku nane baadaye, wakati wa kumtahiri mtoto ulipofika, walimpa jina Yesu, jina ambalo alikuwa amepewa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Siku nane baadaye, wakati wa kumtahiri mtoto ulipofika, walimpa jina Yesu, jina ambalo alikuwa amepewa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Siku nane baadaye, wakati wa kumtahiri mtoto ulipofika, walimpa jina Yesu, jina ambalo alikuwa amepewa na malaika kabla hajachukuliwa mimba.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Hata zilipotimia siku nane, uliokuwa wakati wa kumtahiri mtoto, akaitwa Isa, jina alilopewa na malaika kabla hajatungwa mimba.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Hata zilipotimia siku nane, ulikuwa ndio wakati wa kumtahiri mtoto, akaitwa Isa, jina alilokuwa amepewa na malaika kabla hajatungwa mimba.

Tazama sura Nakili




Luka 2:21
9 Marejeleo ya Msalaba  

Nae atazaa mtoto mwanamume, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, ndiye atakaewaokoa watu wake na dhambi zao.


akamchukua mkewe; asimjue kamwe hatta alipomzaa mwanawe wa kifungua mimba; akainwita jina lake YESU.


Yesu akajibu, akamwambia, Hayo yaache sasa: kwa kuwa hivi imetupasa kutimiza haki yote. Bassi akamwacha.


Tazama, utachukua mimba, utazaa mwana, utamwita jina lake Yesu.


Ikawa siku ya nane wakaja kumtahiri mtoto; wakataka kumpa jina la babae, Zakaria.


tena, alipoonekana ana umho kama mwana Adamu, alijidhili, akawa mtii hatta mauti, nayo mauti ya msalaba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo