Luka 2:21 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192121 Na zilipotimia siku nane za kumtahiri, alikwitwa jina lake Yesu, lile lililotajwa na malaika kabla hajachukuliwa mimba. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema21 Siku nane baadaye, wakati wa kumtahiri mtoto ulipofika, walimpa jina Yesu, jina ambalo alikuwa amepewa na malaika kabla hajachukuliwa mimba. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND21 Siku nane baadaye, wakati wa kumtahiri mtoto ulipofika, walimpa jina Yesu, jina ambalo alikuwa amepewa na malaika kabla hajachukuliwa mimba. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza21 Siku nane baadaye, wakati wa kumtahiri mtoto ulipofika, walimpa jina Yesu, jina ambalo alikuwa amepewa na malaika kabla hajachukuliwa mimba. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu21 Hata zilipotimia siku nane, uliokuwa wakati wa kumtahiri mtoto, akaitwa Isa, jina alilopewa na malaika kabla hajatungwa mimba. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu21 Hata zilipotimia siku nane, ulikuwa ndio wakati wa kumtahiri mtoto, akaitwa Isa, jina alilokuwa amepewa na malaika kabla hajatungwa mimba. Tazama sura |