Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 2:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Wote waliosikia wakataajabu kwa yale waliyoambiwa na wachungaji.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Wote waliosikia hayo walishangaa juu ya habari walizoambiwa na wachungaji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Wote waliosikia hayo walishangaa juu ya habari walizoambiwa na wachungaji.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Wote waliosikia hayo walishangaa juu ya habari walizoambiwa na wachungaji.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Nao wote waliosikia habari hizi wakastaajabia yale waliyoambiwa na wale wachungaji wa kondoo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Nao wote waliosikia habari hizi wakastaajabia yale waliyoambiwa na wale wachungaji wa kondoo.

Tazama sura Nakili




Luka 2:18
8 Marejeleo ya Msalaba  

Walipoona wakaeneza khabari za neno waliloambiwa, la huyu mtoto.


Bali Mariamu aliyahifadhi maneno haya yote akiyatafakari moyoni.


Yusuf na mama yake wakawa wakistaajahu kwa yale yaliyonenwa juu yake;


Wote waliomsikia wakataajahu kwa akili zake na majibu yake.


Ushangao ukawashika wote, wakaambiana wao kwa wao, wakinena, Neno gani hili, maana kwa mamlaka na uweza awaamuru pepo wachafu, nao watoka?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo