Luka 2:16 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192116 Wakaenda kwa haraka, wakamkuta Mariamu na Yusuf, na mtoto amelazwa horini. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Basi, wakaenda mbio, wakamkuta Maria na Yosefu na yule mtoto mchanga amelazwa horini. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Basi, wakaenda mbio, wakamkuta Maria na Yosefu na yule mtoto mchanga amelazwa horini. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Basi, wakaenda mbio, wakamkuta Maria na Yosefu na yule mtoto mchanga amelazwa horini. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Hivyo wakaenda haraka Bethlehemu, wakawakuta Mariamu na Yusufu na yule mtoto mchanga akiwa amelala katika hori la kulia ng’ombe. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Hivyo wakaenda haraka Bethlehemu, wakawakuta Mariamu na Yusufu na yule mtoto mchanga akiwa amelala katika hori la kulia ng’ombe. Tazama sura |