Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 2:15 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

15 Ikawa malaika walipoondoka kwenda zao mbinguni, wale wachungaji wakaambiana, Haya na twende zetu mpaka Bethlehemu, tukaone neno hili lililofanyika, Bwana alilotujulisha.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Baada ya hao malaika kuondoka na kurudi mbinguni, wachungaji wakaambiana: “Twendeni moja kwa moja mpaka Bethlehemu tukalione tukio hili Bwana alilotujulisha.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Baada ya hao malaika kuondoka na kurudi mbinguni, wachungaji wakaambiana: “Twendeni moja kwa moja mpaka Bethlehemu tukalione tukio hili Bwana alilotujulisha.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Baada ya hao malaika kuondoka na kurudi mbinguni, wachungaji wakaambiana: “Twendeni moja kwa moja mpaka Bethlehemu tukalione tukio hili Bwana alilotujulisha.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Hao malaika walipokwisha kuondoka na kwenda zao mbinguni, wale wachungaji wakasemezana wao kwa wao, “Twendeni Bethlehemu tukaone mambo haya yaliyotukia, ambayo Mwenyezi Mungu ametuambia habari zake.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Hao malaika walipokwisha kuondoka na kwenda zao mbinguni, wale wachungaji wakasemezana wao kwa wao, “Twendeni Bethlehemu tukaone mambo haya ya ajabu yaliyotukia, ambayo Mwenyezi Mungu ametuambia habari zake.”

Tazama sura Nakili




Luka 2:15
12 Marejeleo ya Msalaba  

Malkia wa kusini ataondoka siku ya hukumu pamoja na watu wa kizazi hiki, nae atakihukumu: maana yeye alikuja kutoka pande za mwisho za ulimwengu asikie hekima ya Sulemani; na hapa yupo aliye mkuu kuliko Sulemani.


Utukufu una Mungu palipo juu, Na katika inchi amani, kwa watu aliowaridhia.


Wakaenda kwa haraka, wakamkuta Mariamu na Yusuf, na mtoto amelazwa horini.


Ikawa katika kuwabariki, akajitenga nao, akachukuliwa juu mbinguni.


alioko mkono wa kuume wa Mungu, amekwenda zake mbinguni, malaika na enzi na nguvu zimetiishwa chini yake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo