Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 2:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 Utukufu una Mungu palipo juu, Na katika inchi amani, kwa watu aliowaridhia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 “Utukufu kwa Mungu juu mbinguni, na amani duniani kwa watu anaowafadhili!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 “Utukufu kwa Mungu juu mbinguni, na amani duniani kwa watu anaowafadhili!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 “Utukufu kwa Mungu juu mbinguni, na amani duniani kwa watu anaowafadhili!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 “Utukufu kwa Mungu juu mbinguni, na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 “Atukuzwe Mungu juu mbinguni, na duniani iwe amani kwa watu aliowaridhia.”

Tazama sura Nakili




Luka 2:14
36 Marejeleo ya Msalaba  

Na makutano waliotangulia, na waliofuata, wakapaaza sauti zao, wakinena, Utuokoe sasa, Mwana wa Daud; amebarikiwa ajae kwa jina la Bwana; Utuokoe sasa wewe uliye juu.


Kuwaangaza wakaao katika giza na uvuli wa mauti, Na kuelekeza miguu yetu mnamo njia ya amani.


wakinena Amebarikiwa mfalme ajae kwa jina la Bwana, amani mbinguni, na utukufu palipo juu.


Ghafula hiyo walikuwapo pamoja na yule malaika wengi wa jeshi la mbinguni, wakimsifu Mungu, wakisema,


Ikawa malaika walipoondoka kwenda zao mbinguni, wale wachungaji wakaambiana, Haya na twende zetu mpaka Bethlehemu, tukaone neno hili lililofanyika, Bwana alilotujulisha.


Roho Mtakatifu akashuka juu yake kwa mfano wa kiwiliwili kama hua, sauti ikatoka mbinguni, Wewe ndiwe mwana wangu, mpendwa wangu, ndiwe unipendezae.


Amani nawaachieni; amani yangu nawatolea; si kama ulimwengu utoavyo, mimi nawatolea. Msifadhaike moyo wenu, wala msiwe na woga.


Mimi nimekutukuza duniani. Kazi ile uliyonipa niifanye nimeimaliza.


Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ulimwengu, hatta akampeleka Mwana wake wa pekee, illi mtu aliye yote amwaminiye asipotee, bali apate uzima wa milele.


Neno lile alilowapelekea wana wa Israeli, akikhubiri amani kwa Yesu Kristo (ndiye Bwana wa wote),


BASSI tukiisha kuhesabiwa wema utokao katika imani, tuwe na amani kwa Mungu, kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo;


illi usifiwe utukufu wa neema yake, aliyotukarimu katika mpendwa wake:


akiisha kutujulisha siri ya nia yake, kwa kadiri ya mapenzi yake, aliyoyakusudia katika yeye huyu,


Lakini Mungu kwa kuwa mwingi wa rehema, kwa mapenzi yake makuu aliyotupenda,


illi katika zamani zinazokuja audhihirishe wingi wa neema yake upitao kiasi kwa wema wake kwetu katika Kristo Yesu.


killa ulimi ukiri ya kuwa Yesu Kristo ni Bwana, kwa utukufu wa Mungu Baba.


kwa maana ni Mungu atendae ndani yenu, kutaka kwenu na kutenda kwenu, kwa ajili ya kusudi lake jema.


na kwa yeye kuvipatanisha vitu vyote nae, akiisha kufanya amani kwa damu ya msalaba wake; kwa yeye, ikiwa ni vitu vilivyo juu ya inchi, au vilivyo mbinguni.


Na Bwana wetu Yesu Kristo, na Mungu Baba yetu aliyetupenda akatupa faraja ya milele na tumaini jema, katika neema,


Na killa kiumbe kilicho mbinguni na juu ya inchi na chini ya inchi na juu ya bahari, na vitu vyote vilivyo ndani yake, nalivisikia, vikisema, Baraka na heshima na utukufu na uweza una yeye aketiye juu ya kiti cha enzi, na una Mwana Kondoo hatta milele na milele.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo