Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 2:1 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

1 HATTA siku zile kulitoka amri kwa Kaisari Augusto ya kama iandikwe orodha ya majina ya walimwengu wote:

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Siku zile, tangazo rasmi lilitolewa na Kaisari Augusto kuwataka watu wote nchini kote wahesabiwe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Siku zile, tangazo rasmi lilitolewa na Kaisari Augusto kuwataka watu wote nchini kote wahesabiwe.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Siku zile, tangazo rasmi lilitolewa na Kaisari Augusto kuwataka watu wote nchini kote wahesabiwe.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Siku zile Kaisari Augusto alitoa amri kwamba watu wote waandikishwe katika ulimwengu wa Rumi.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Siku zile Kaisari Augusto alitoa amri kwamba watu wote waandikishwe katika ulimwengu wa Kirumi.

Tazama sura Nakili




Luka 2:1
13 Marejeleo ya Msalaba  

Bassi utuambie, Waonaje? Ni halali kumpa Kaisari kodi, au si halali?


Na injili hii ya ufalme itakhubiriwa katika ulimwengu wote, kuwa ushuhuda kwa mataifa yote; ndipo ule mwisho utakapokuja.


Amin, nawaamhieni, Killa ikhubiriwapo Injili katika ulimwengu wote, na hili alilotenda huyu litatajwa kwa kumbukumbu lake.


Akawaambia, Enendem nlimwenguni mwote, mkaikhubiri injili kwa killa kiumbe.


Watu wote wakashika njia kwenda kuandikwa, killa mtu mjini kwake.


illi aandikwe pamoja na Mariamu mkewe ambae ameposwa nae; nae ana mimba.


HATTA katika mwaka wa kumi na tano wa kutawala kwake Tiberio Kaisari, Pontio Pilato alipokuwa liwali wa Yahudi, na Herode tetrarka wa Galilaya, na Filipo ndugu yake tetrarka wa Iturea, na wa inchi ya Trakoniti, na Lusania tetrarka wa Abilene,


Akasimama mmojawapo wao, jina lake Agabo, akaonyesha kwa nweza wa Roho Mtakatifu kwamba njaa kubwa itakuja karibu katika dunia nzima; nayo ikatukia katika siku za Klaudio Kaisari.


Ikiwa nimekosa au nimetenda neno la kustahili kufa, sikatai kufa; hali, kama si kweli neno hili wanalonishitaki, hapana awezae kunitia mikononi mwao. Nataka rufaani kwa Kaisari.


Lakini Paolo alipodai kuwekwa ahukumiwe na Augusto, nikaamuru alindwe hatta nitakapompeleka kwa Kaisari.


Kwanza namshukuru Mungu wangu katika Yesu Kristo kwa ajili yenu nyote, kwa kuwa imani yenu inakhubiriwa katika dunia yote.


Watakatifu wote wawasalimu, khassa wao walio wa nyumba ya Kaisari.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo