Luka 19:38 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192138 wakinena Amebarikiwa mfalme ajae kwa jina la Bwana, amani mbinguni, na utukufu palipo juu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema38 wakawa wanasema: “Abarikiwe Mfalme ajaye kwa jina la Bwana. Amani mbinguni, na utukufu juu mbinguni!” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND38 wakawa wanasema: “Abarikiwe Mfalme ajaye kwa jina la Bwana. Amani mbinguni, na utukufu juu mbinguni!” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza38 wakawa wanasema: “Abarikiwe Mfalme ajaye kwa jina la Bwana. Amani mbinguni, na utukufu juu mbinguni!” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu38 “Amebarikiwa mfalme ajaye kwa Jina la Mwenyezi Mungu!” “Amani mbinguni na utukufu huko juu sana.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu38 “Amebarikiwa Mfalme ajaye kwa Jina la Bwana Mwenyezi Mungu!” “Amani mbinguni na utukufu huko juu sana.” Tazama sura |