Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 19:36 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

36 Nae alipokuwa akienda, wakatandaza nguo zao njiani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Yesu akaendelea na safari, na watu wakatandaza mavazi yao barabarani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Yesu akaendelea na safari, na watu wakatandaza mavazi yao barabarani.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Yesu akaendelea na safari, na watu wakatandaza mavazi yao barabarani.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Alipokuwa akienda, watu wakatandaza mavazi yao barabarani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Alipokuwa akienda akiwa amempanda, watu wakatandaza mavazi yao barabarani.

Tazama sura Nakili




Luka 19:36
4 Marejeleo ya Msalaba  

Watu wengi katika makutano wakatandaza nguo zao njiani; wengine wakikata matawi ya miti, wakiyatandaza njiani.


Wakampeleka kwa Yesu, wakatandika nguo zao juu ya yule mwana punda wakampandisha Yesu.


Hatta alipokuwa amekwisha kukaribia matelemko va mlima wa mizeituni, kundi lote la wanafunzi wake wakaanza kufurahi na kumhimidi Mungu kwa sauti kuu, kwa ajili ya miujiza yote waliyoiona,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo