Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 19:35 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

35 Wakampeleka kwa Yesu, wakatandika nguo zao juu ya yule mwana punda wakampandisha Yesu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

35 Basi, wakampelekea Yesu yule mwanapunda. Kisha wakatandika mavazi yao juu yake, wakampandisha Yesu juu yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

35 Basi, wakampelekea Yesu yule mwanapunda. Kisha wakatandika mavazi yao juu yake, wakampandisha Yesu juu yake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

35 Basi, wakampelekea Yesu yule mwanapunda. Kisha wakatandika mavazi yao juu yake, wakampandisha Yesu juu yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

35 Wakamleta kwa Isa, nao baada ya kutandika mavazi yao juu ya huyo mwana-punda, wakampandisha Isa juu yake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

35 Wakamleta kwa Isa, nao baada ya kutandika mavazi yao juu ya huyo mwana-punda, wakampandisha Isa juu yake.

Tazama sura Nakili




Luka 19:35
9 Marejeleo ya Msalaba  

Haya yote yamepata kuwa, illi litimie neno lililonenwa na nabii, akisema,


wakamleta yule punda na mwana punda, wakaweka nguo zao juu yao, wakamketisha.


Wakasema, Bwana ana haja nae.


Nae alipokuwa akienda, wakatandaza nguo zao njiani.


Siku ya pili watu wengi walioijia siku kuu, waliposikia kwamba Yesu anakuja Yerusalemi,


Yesu akapata mwana punda, akampanda, kama ilivyoandikwa,


Tufuate:

Matangazo


Matangazo