Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 19:28 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

28 Alipokwisha kusema haya, akaendelea mbele, akipanda kwenda Yerusalemi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Yesu alisema hayo, kisha akatangulia mbele yao kuelekea Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Yesu alisema hayo, kisha akatangulia mbele yao kuelekea Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Yesu alisema hayo, kisha akatangulia mbele yao kuelekea Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Baada ya Isa kusema haya, alitangulia kupanda kwenda Yerusalemu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Baada ya Isa kusema haya, alitangulia kupanda kwenda Yerusalemu.

Tazama sura Nakili




Luka 19:28
9 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akajibu akasema, Kulikuwa na mtu akishuka kutoka Yerusalemi kwenda Yeriko; akaangukia katika mikono ya wanyangʼanyi, wakamvua nguo zake, wakamtia jeraha, wakaenda zao, wakamwacha nussu ya kufa.


Nina ubatizo wa kubatizwa nao, na nina dhiiki namna gani hatta utakapotimizwa!


Bassi, Yesu akawachukua wale thenashara akawaambia, Tazameni, tunapanda kwenda Yerusalemi, na yatatimizwa mambo yote aliyoandikiwa Mwana wa Adamu na manabii.


Ikawa siku za kupandishwa kwake juu zilipokuwa karibu kutimia, yeye mwenyewe akauelekeza nso wake kwenda Yerusalemi.


Bassi Yesu akamwambia Petro, Rudisha upanga wako alani mwake. Kikombe alichonipa Baba, nisikinywee?


tukimtazama Yesu, aliveianzisha imani yetu na kuitimiliza; ambae kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele zake aliuvumilia msalaba na kuidharau aibu, nae ameketi mkono wa kuume wa kiti cha enzi cha Mungu.


BASSI kwa kuwa Kristo aliteswa katika mwili wake kwa ajili yenu, ninyi nanyi jivikeni nia ile ile kama silaha; kwa maana yeye allyeteswa katika mwili, ameachana na dhambi;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo