Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 19:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

20 Akaja mwingine akasema, Bwana, tazama, mane yako hii niliyokuwa nayo, imewekwa akiba katika leso:

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 “Mtumishi mwingine akaja, akasema: ‘Chukua fedha yako; niliificha salama katika kitambaa,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 “Mtumishi mwingine akaja, akasema: ‘Chukua fedha yako; niliificha salama katika kitambaa,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 “Mtumishi mwingine akaja, akasema: ‘Chukua fedha yako; niliificha salama katika kitambaa,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 “Kisha akaja yule mtumishi mwingine, akasema, ‘Bwana, hii hapa fedha yako. Niliitunza vizuri kwenye kitambaa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 “Kisha akaja yule mtumishi mwingine, akasema, ‘Bwana, hii hapa fedha yako. Niliitunza vizuri kwenye kitambaa.

Tazama sura Nakili




Luka 19:20
10 Marejeleo ya Msalaba  

Akaja na yule aliyepokea talanta moja, akasema, Bwana, nalitambua ya kuwa wewe u mtu mgumu, wavuna usipopanda, wakusanya usipotawanya:


Akawaita watu kumi katika watumishi wake, akawapa mane za fedha kumi, akawaambia, Fanyeni biashara hatta nitakaporudi.


Akamwambia yule nae, Na wewe uwe juu ya miji mitano.


maana nalikuogopa, kwa sababu wewe mtu mgumu; waondoa usichoweka, wavuna usichopanda.


Na sasa hivi shoka limekwisha kutiwa katika shina la miti, bassi killa mti usiozaa matunda mema hukatwa ukatupwa motoni.


Ya nini kuniita Bwana, Bwana, nanyi hamyatendi niyanenayo?


Akatoka nje yule aliyekufa, amefungwa saanda miguuni na mikononi, na uso wake umefungwa kitambaa. Yesu akawaambia, Mfungueni, kamwacheni aende zake.


na ile leso iliyokuwa kichwani pake, haikuwekwa pamoja na vitambaa, bali imekunjwa, na kuwekwa mahali pa peke yake.


Bassi yeye ajuae kutenda mema, wala hayatendi, kwake huyu ni dhambi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo