Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 19:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 Na tazama, mtu mmoja, jina lake alikwitwa Zakkayo, mkubwa wa watoza ushuru, nae tajiri:

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Palikuwa na mtu mmoja huko mjini aitwaye Zakayo ambaye alikuwa mkuu wa watozaushuru, na pia mtu tajiri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Palikuwa na mtu mmoja huko mjini aitwaye Zakayo ambaye alikuwa mkuu wa watozaushuru, na pia mtu tajiri.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Palikuwa na mtu mmoja huko mjini aitwaye Zakayo ambaye alikuwa mkuu wa watozaushuru, na pia mtu tajiri.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Tazama, palikuwa na mtu mmoja mkuu wa watoza ushuru naye alikuwa tajiri, jina lake Zakayo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Tazama, palikuwa na mtu mmoja mkuu wa watoza ushuru naye alikuwa tajiri, jina lake Zakayo.

Tazama sura Nakili




Luka 19:2
6 Marejeleo ya Msalaba  

Filipo, na Bartolomayo, na Tomaso, na Mattayo mtoza ushuru; Yakobo wa Alfayo, na Lebbayo, aliyekwitwa Thaddayo;


AKAINGIA Yeriko akawa akipita katikati yake.


akatafuta kumwona Yesu, ni mtu gani, asiweze lakini kwa sababu ya makutano, maana kimo chake alikuwa mfupi.


Na Yesu, alipofika mahali pale, akatazama juu, akamwona, akamwambia, Zakkayo, shuka upesi; maana leo imenipasa kushinda nyumbani mwako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo