Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 19:10 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

10 Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja illi kutafuta kilichopotea na kukiokoa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

10 Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa waliopotea.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

10 Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa waliopotea.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

10 Kwa maana Mwana wa Mtu amekuja kutafuta na kuokoa waliopotea.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

10 Kwa maana Mwana wa Adamu amekuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

10 Kwa maana Mwana wa Adamu amekuja kutafuta na kuokoa kile kilichopotea.”

Tazama sura Nakili




Luka 19:10
17 Marejeleo ya Msalaba  

Nae atazaa mtoto mwanamume, nawe utamwita jina lake Yesu, maana, ndiye atakaewaokoa watu wake na dhambi zao.


afadhali shikeni njia kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli.


Nae akajibu, akasema, Sikupelekwa illa kwa kondoo zilizopotea za nyumba ya Israeli.


Angalieni msidharau mmoja wa wadogo hawa; kwa maana nawaambieni ya kwamba malaika zao mbinguni siku zote wanamtazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni.


Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.


Tena kufanya furaha na kuona furaha kulikuwa wajib, kwa maana huyu ndugu yako alikuwa amekufa, nae amefufuka: alikuwa amepotea, nae ameonekana.


Ama mwanamke gani aliye na rupia kumi, akipotewa na rupia mmoja, asiyewasha taa, na kuifagia nyumba, akitatuta kwa bidii, hatta atakapoiona?


Maana Mungu hakumpeleka Mwana wake ulimwenguni auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe nae.


Kwa maana hapo tulipokuwa sisi hatuna nguvu, wakali ulipotimia, Kristo alikufa kwa ajili ya maasi.


Nae, kwa sababu hii, aweza kuwaokoa kabisa wao wajao kwa Mungu kwa yeye; maana yu hayi siku zote illi awaombee.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo