Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 18:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 Walakini Mwana wa Adamu atakapokuja, je! ataiona imani duniani?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 Nawaambieni atawatetea upesi. Hata hivyo, je, kutakuwako na imani duniani wakati Mwana wa Mtu atakapokuja?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 Nawaambieni atawatetea upesi. Hata hivyo, je, kutakuwako na imani duniani wakati Mwana wa Mtu atakapokuja?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 Nawaambieni atawatetea upesi. Hata hivyo, je, kutakuwako na imani duniani wakati Mwana wa Mtu atakapokuja?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Ninawaambia, atawapatia haki upesi. Lakini je, Mwana wa Adamu atakapokuja ataikuta imani duniani?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Ninawaambia, atawapatia haki upesi. Lakini je, Mwana wa Adamu atakapokuja ataikuta imani duniani?”

Tazama sura Nakili




Luka 18:8
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana wataondoka Makristo ya uwongo, na manabii ya uwongo, nao watafanyiza ishara kubwa ua mataajabu; wapate kuwadanganya, kama yumkini, hatta wateule.


Yesu akamwambia, Mbweha wana matundu, na ndege za anga vituo; bali Mwana wa Adamu hana pa kulaza kichwa chake.


Na katika kutamani watajipatia faida kwenu kwa maneno yaliyotungwa: hukumu yao tangu zamani haikawii, wala upotevu wao hausinzii.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo