Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 18:6 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

6 Bwana akasema, Sikieni asemavyo yule kadhi asiye haki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Basi, Bwana akaendelea kusema, “Sikieni jinsi alivyosema huyo hakimu mbaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Basi, Bwana akaendelea kusema, “Sikieni jinsi alivyosema huyo hakimu mbaya.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Basi, Bwana akaendelea kusema, “Sikieni jinsi alivyosema huyo hakimu mbaya.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Bwana Isa akasema, “Sikilizeni asemavyo huyu hakimu dhalimu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Bwana Isa akasema, “Sikilizeni asemavyo huyu hakimu dhalimu.

Tazama sura Nakili




Luka 18:6
4 Marejeleo ya Msalaba  

illi mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni: maana yeye jua lake huwazushia waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.


Na Bwana alipomwona, akamhurumia, akamwambia, Usilie.


Yohana akaita wawili katika wanafunzi wake akawapeleka kwa Yesu, akisema, Wewe ndiye yule ajae, au tumtazamie mwingine?


je! hamkufanya ihtilafu mioyoni mwenu mkawa waamuzi wenye mawazo mabovu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo