Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 18:41 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

41 na alipomkaribia akamwuliza, Wataka nikufanyie nini? Akasema, Bwami, nipate kuona.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

41 “Unataka nikufanyie nini?” Naye akamjibu, “Bwana, naomba nipate kuona.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

41 “Unataka nikufanyie nini?” Naye akamjibu, “Bwana, naomba nipate kuona.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

41 “Unataka nikufanyie nini?” Naye akamjibu, “Bwana, naomba nipate kuona.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

41 “Unataka nikufanyie nini?” Akajibu, “Bwana, nataka kuona.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

41 “Unataka nikufanyie nini?” Akajibu, “Bwana Isa, nataka kuona.”

Tazama sura Nakili




Luka 18:41
6 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akasimama, akaamuru aletwe kwake;


Yesu akamwambia, Upewe kuona imani yako imekuponya.


Bali tukikitumaini kitu tusichokiona, twakingojea kwa uvumilivu.


Msijisumbue kwa neno lo lote; bali katika killa neno kwa kusali na kuomba pamoja na kushukuru haja zenu zijulike kwa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo