Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 18:38 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

38 Akapiga kelele, akisema, Yesu, Mwana wa Daud, unirehemu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

38 Naye akapaza sauti akisema, “Yesu, Mwana wa Daudi, nihurumie!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

38 Naye akapaza sauti akisema, “Yesu, Mwana wa Daudi, nihurumie!”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

38 Naye akapaza sauti akisema, “Yesu, Mwana wa Daudi, nihurumie!”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

38 Akapaza sauti, akasema, “Isa, Mwana wa Daudi, nihurumie!”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

38 Akapaza sauti, akasema, “Isa, Mwana wa Daudi, nihurumie!”

Tazama sura Nakili




Luka 18:38
14 Marejeleo ya Msalaba  

Makutano wote wakashangaa wakasema, Huyu siye mwana wa Daud?


Na mwanamke Mkauanaya wa mipaka ile akatokea, akampaazia sauti, akinena, Unirehemu. Bwana, Mwana wa Daud; binti yangu amepagawa sana na pepo.


Lakini makuhani wakuu na waandishi walipoyaona maajabu aliyoyafanya, na watoto wakipaaza sauti zao hekaluni, wakinena, Utuokoe sasa, mwana wa Daud! wakakasirika,


Na makutano waliotangulia, na waliofuata, wakapaaza sauti zao, wakinena, Utuokoe sasa, Mwana wa Daud; amebarikiwa ajae kwa jina la Bwana; Utuokoe sasa wewe uliye juu.


Yesu alipokuwa anaondoka kutoka huko, vipofu wawili wakamfuata wakipaaza sauti, wakinena. Uturehemu, Ee mwana wa Daud.


Wakamweleza, Yesu wa Nazareti anapita.


Bassi, waliotangulia wakamkemea, anyamaze; lakini yeye akazidi sana kupiga makelele, Mwana wa Daud, unirehemu.


khabari za Mwana wake, aliyekuwa katika ukoo wa Daud kwa jinsi ya mwili,


Mimi Yesu nalimtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina na Mzao wa Daud, ile nyota yenye kungʼaa ya assubuhi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo