Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 18:37 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

37 Wakamweleza, Yesu wa Nazareti anapita.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

37 Wakamwambia, “Yesu wa Nazareti anapita.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

37 Wakamwambia, “Yesu wa Nazareti anapita.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

37 Wakamwambia, “Yesu wa Nazareti anapita.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

37 Wakamwambia, “Isa Al-Nasiri anapita.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

37 Wakamwambia, “Isa Al-Nasiri anapita.”

Tazama sura Nakili




Luka 18:37
11 Marejeleo ya Msalaba  

akaenda, akakaa mji uliokwitwa Nazareti: illi litimie neno lililonenwa na manabii, Atakwitwa Mnazorayo.


Aliposikia makutano yanapita, akauliza khabari, Kuna nini?


Akapiga kelele, akisema, Yesu, Mwana wa Daud, unirehemu.


Akashuka pamoja nao, akafika Nazareti, akawa anawatii: mama yake akayahifadhi maneno haya yote moyoni mwake.


Filipo akamwona Nathanaeli, akamwambia, Tumemwona yeye aliyeandikiwa na Musa katika torati, na na manabii, Yesu, mwana wa Yusuf, mtu wa Nazareti


Pilato akaandika anwani, akaiweka juu ya msalaba, imeandikwa, YESU MNAZARETI, MFALME WA WAYAHUDI.


Enyi waume wa Israeli, sikieni maneno haya: Yesu wa Nazareti, mtu aliyedhihirishwa kwenu na Mungu kwa miujiza na ajabu na ishara, ambazo Mungu alizifanya kwa mkono wake kati yenu, kama ninyi wenyewe mnavyojua;


jueni ninyi nyote na watu wote wa Israeli ya kuwa kwa jina la Yesu Mnazareti, ambae ninyi mlimsulibisha, Mungu akamfufua, kwa jina hilo mtu huyu anasimama mzima mbele yenu.


(maana anena, Wakati uliokubalika nalikusikia, Siku ya wokofu nilikusaidia; tazama, sasa ndio wakati uliokubalika sana; tazama, sasa ndio siku ya wokofu).


Tufuate:

Matangazo


Matangazo