Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 18:36 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

36 Aliposikia makutano yanapita, akauliza khabari, Kuna nini?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

36 Aliposikia umati wa watu ukipita aliuliza, “Kuna nini?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

36 Aliposikia umati wa watu ukipita aliuliza, “Kuna nini?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

36 Aliposikia umati wa watu ukipita aliuliza, “Kuna nini?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

36 Kipofu huyo aliposikia umati wa watu wakipita, akauliza nini kilikuwa kikitendeka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

36 Kipofu huyo aliposikia umati wa watu ukipita, akauliza, “Kuna nini?”

Tazama sura Nakili




Luka 18:36
4 Marejeleo ya Msalaba  

Akamwita mmojawapo wa watumishi wake akamwuliza khabari, Mambo bayo, maana yake nini?


Ikawa alipokaribia Yeriko, pafikuwa na kipofu, amekaa kando ya njia akiomba.


Wakamweleza, Yesu wa Nazareti anapita.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo