Luka 18:35 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192135 Ikawa alipokaribia Yeriko, pafikuwa na kipofu, amekaa kando ya njia akiomba. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema35 Wakati Yesu alipokaribia Yeriko, kulikuwa na mtu mmoja kipofu ameketi njiani akiomba. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND35 Wakati Yesu alipokaribia Yeriko, kulikuwa na mtu mmoja kipofu ameketi njiani akiomba. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza35 Wakati Yesu alipokaribia Yeriko, kulikuwa na mtu mmoja kipofu ameketi njiani akiomba. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu35 Isa alipokuwa anakaribia Yeriko, kipofu mmoja alikuwa ameketi kando ya njia akiomba msaada. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu35 Isa alipokuwa anakaribia Yeriko, kipofu mmoja alikuwa ameketi kando ya njia akiomba msaada. Tazama sura |