Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 18:34 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

34 Nao hawakufahamu haya hatta kidogo, neno hili likawa limefichwa kwao, wala hawakuyajua yaliyonenwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Lakini wao hawakuelewa jambo hilo hata kidogo; walikuwa wamefichwa maana ya maneno hayo, na hawakutambua yaliyosemwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Lakini wao hawakuelewa jambo hilo hata kidogo; walikuwa wamefichwa maana ya maneno hayo, na hawakutambua yaliyosemwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Lakini wao hawakuelewa jambo hilo hata kidogo; walikuwa wamefichwa maana ya maneno hayo, na hawakutambua yaliyosemwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Wanafunzi wake hawakuelewa mambo haya, kwa kuwa maana yake ilikuwa imefichika kwao, nao hawakujua Isa alikuwa anazungumzia nini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Wanafunzi wake hawakuelewa mambo haya, kwa kuwa maana yake ilikuwa imefichika kwao, nao hawakujua Isa alikuwa anazungumzia nini.

Tazama sura Nakili




Luka 18:34
9 Marejeleo ya Msalaba  

Nao hawakulifahamu neno lile, wakaogopa kumwuliza.


na wakiisha kumpiga mijeledi, watamwua; na siku ya tatu atafufuka.


Wala hawakuelewa na neno lile alilowaanibia.


Nae akawaambia, Enyi wapumbavu, na wenye mioyo mizito katika kuyaamini yote waliyoyasema manabii!


Ndipo akaamsha akili zao, wapate kuyatambua maandiko matakatifu.


Lakini hawakulifuhamu neno lile, likawa limefichwa kwao wasipate kulitambua. Wakaogopa kumwuliza maana ya neno lile.


Methali hii Yesu aliwaambia; lakini wao hawakuelewa na mambo hayo aliyowaambia.


Mambo haya wanafunzi wake hawakuyafahamu hapo kwanza; lakini Yesu alipotukuzwa, ndipo walikumbuka ya kwamba ameandikiwa haya na ya kwamba walimtendea haya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo