Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 18:33 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

33 na wakiisha kumpiga mijeledi, watamwua; na siku ya tatu atafufuka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Watampiga mijeledi na kumuua; lakini siku ya tatu atafufuka.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Watampiga mijeledi na kumuua; lakini siku ya tatu atafufuka.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Watampiga mijeledi na kumuua; lakini siku ya tatu atafufuka.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Naye siku ya tatu atafufuka.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Naye siku ya tatu atafufuka.”

Tazama sura Nakili




Luka 18:33
7 Marejeleo ya Msalaba  

Toka wakati huo Yesu akaanza kuwaonya wanafunzi wake ya kwamba imempasa kwenda Yerusalemi, na kuteswa mengi na wazee na makuhani wakuu, na waandishi, na kuuawa, na siku ya tatu kufufuka.


wakinena, Bwana, tumekumbuka kwamba yule mjanja alisema, alipokuwa hayi bado, Baada ya siku tatu nitafufuka.


Kwa maana atatiwa katika mikono ya Mataifa, atafanyiwa dhihaka na kutendwa jeuri, na kutemewa mate;


Nao hawakufahamu haya hatta kidogo, neno hili likawa limefichwa kwao, wala hawakuyajua yaliyonenwa.


nasi twalitaraja ya kuwa yeye ndiye atakaekomboa Israeli. Hatta pamoja na haya yote, leo ni siku ya tatu tangu yalipokuwa haya.


ya kwamba imempasa Mwana wa Adamu kutiwa katika mikono ya watu wenye dhambi, na kusulibiwa, na kufufuka siku ya tafu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo