Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 18:30 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

30 illa atapokea zaidi marra nyingi sasa wakati huu, na katika ulimwengu ujao uzima wa milele.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

30 atapokea mengi zaidi wakati huu wa sasa, na uhai wa milele wakati ujao.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

30 atapokea mengi zaidi wakati huu wa sasa, na uhai wa milele wakati ujao.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

30 atapokea mengi zaidi wakati huu wa sasa, na uhai wa milele wakati ujao.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

30 ambaye hatapewa mara nyingi zaidi ya hivyo katika maisha haya, na hatimaye kupata uzima wa milele ujao.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

30 ambaye hatapewa mara nyingi zaidi ya hivyo katika maisha haya, na hatimaye kupata uzima wa milele ujao.”

Tazama sura Nakili




Luka 18:30
19 Marejeleo ya Msalaba  

Na killa mtu atakaenena neno juu ya Mwana wa Adamu atasamehewa, bali yeye atakaenena neno juu ya Roho Mtakatifu hatasamehewa katika ulimwengu wa sasa, wala katika ule ntakaokuwa.


Khabari zake zikaenea katika Sham yote; wakamletea watu waliokuwa hawawezi, walioshikwa mi maradhi mbali mbali na mateso, nao wenye pepo, na wenye kifafa, na wenye kupooza; akawaponya.


Jitahidi kupata utawa. Maana, kujitahidi kupata nguvu za mwili kwafaa kidogo, hali utawa hufaa kwa mambo yote; maana nna ahadi ya uzima wa sasa na wa ule utakaokuwa.


Lakini utawa pamoja na kuridhia ni faida nyingi.


Usiogope mambo yatakavokupata: tazama mshitaki atawatupa baadhi yenu gerezani illi mjaribiwe, nanyi mtakuwa na mateso siku kumi. Uwe mwaminifu hatta kufa, nami nitakupa taji ya uzima.


Yeye aliye na sikio na asikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindae nitampa kula baadhi ya ile manna iliyofiehwa, nami nitampa jiwe jeupe, na juu ya jiwe hilo limeandikwa jina, jina asilolijua mtu illa yeye aliyepewa.


Yeye asbindae, nitampa kuketi pamoja nami katika kiti changu cha enzi, kama mimi nilivyoshinda, nikaketi pamoja na Baba yangu katika kiti chake cha enzi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo