Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 18:26 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

26 Nao waliposikia, wakasema, Nani, bassi, awezae kuokoka?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

26 Wale watu waliposikia hayo, wakasema, “Nani basi, atakayeokolewa?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

26 Wale watu waliposikia hayo, wakasema, “Nani basi, atakayeokolewa?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

26 Wale watu waliposikia hayo, wakasema, “Nani basi, atakayeokolewa?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

26 Wale waliosikia haya wakauliza, “Ni nani basi awezaye kuokoka?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

26 Wale waliosikia haya wakauliza, “Ni nani basi awezaye kuokoka?”

Tazama sura Nakili




Luka 18:26
3 Marejeleo ya Msalaba  

Mtu mmoja akamwambia, Bwana, wao wanaookolewa ni wachaehe?


Kwa maana ni rakhisi ngamia kupenya katika tundu la sindano, kuliko tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu.


Akasema, Yasiyowezekana kwa wana Adamu, yawezekana kwa Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo