Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 18:24 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

24 Bassi Yesu alipoona ya kuwa amefanya huzuni nyingi, akasema, Kwa shidda gani wenye mali watauingia ufalme wa Mungu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Yesu alipoona akihuzunika hivyo, akasema, “Jinsi gani ilivyo vigumu kwa matajiri kuingia katika ufalme wa Mungu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Yesu alipoona akihuzunika hivyo, akasema, “Jinsi gani ilivyo vigumu kwa matajiri kuingia katika ufalme wa Mungu!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Yesu alipoona akihuzunika hivyo, akasema, “Jinsi gani ilivyo vigumu kwa matajiri kuingia katika ufalme wa Mungu!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Isa akamtazama, akasema, “Tazama jinsi ilivyo vigumu kwa tajiri kuingia katika ufalme wa Mungu!

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Isa akamtazama, akasema, “Tazama jinsi ilivyo vigumu kwa tajiri kuingia katika Ufalme wa Mwenyezi Mungu!

Tazama sura Nakili




Luka 18:24
18 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme akafanya huzuni sana, lakini kwa ajili ya nyapo zake, na kwa ajili yao walioketi karamuni, hakutaka kumkataa.


Lakini aliposikia maneno haya akafanya huzuni nyingi: maana alikuwa mtu tajiri sana.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo