Luka 18:23 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192123 Lakini aliposikia maneno haya akafanya huzuni nyingi: maana alikuwa mtu tajiri sana. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema23 Lakini huyo mtu aliposikia hayo, alihuzunika sana kwa sababu alikuwa tajiri sana. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND23 Lakini huyo mtu aliposikia hayo, alihuzunika sana kwa sababu alikuwa tajiri sana. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza23 Lakini huyo mtu aliposikia hayo, alihuzunika sana kwa sababu alikuwa tajiri sana. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu23 Aliposikia jambo hili, alisikitika sana kwa maana alikuwa mtu mwenye mali nyingi. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu23 Aliposikia jambo hili, alisikitika sana kwa maana alikuwa mtu mwenye mali nyingi. Tazama sura |