Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 18:21 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

21 Akasema, Haya yote nimeyashika tangu ujana wangu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Yeye akasema, “Hayo yote nimeyazingatia tangu ujana wangu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Yeye akasema, “Hayo yote nimeyazingatia tangu ujana wangu.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Yeye akasema, “Hayo yote nimeyazingatia tangu ujana wangu.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Akajibu, “Amri hizi zote nimezishika tangu nikiwa mtoto.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Akajibu, “Amri hizi zote nimezishika tangu nikiwa mtoto.”

Tazama sura Nakili




Luka 18:21
9 Marejeleo ya Msalaba  

Akamjibu baba yake akamwambia, Tazama, mimi nimekutumikia hii miaka mingapi: wala sikukhalifu amri yako wakati wo wote wala hukunipa mimi mwana mbuzi wakati wo wote illi nifurahi pamoja na rafiki zangu.


Nawaambieni, Kadhalika itakuwako furaha mbinguni kwa mwenye dhambi mmoja atubuye, kuliko kwa wenye haki tissa na tissaini, wasiohitaji toba.


Wazijua amri, Usizini, Usiue, Usiibe, Usishuhudu uwongo, Waheshimu baba yako na mama yako.


Yesu aliposikia haya, akamwambia, Neno moja hujalipata bado; viuze vitu vyote ulivyo navyo, ukawagawie maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni. Kiisha, njoo unifuate.


kwa jinsi ya haki ipatikanayo kwa sharia sikuwa na khatiya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo