Luka 18:20 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192120 Wazijua amri, Usizini, Usiue, Usiibe, Usishuhudu uwongo, Waheshimu baba yako na mama yako. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema20 Unazijua amri: ‘Usizini; Usiue; Usiibe; Usitoe ushahidi wa uongo; Waheshimu baba yako na mama yako.’” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND20 Unazijua amri: ‘Usizini; Usiue; Usiibe; Usitoe ushahidi wa uongo; Waheshimu baba yako na mama yako.’” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza20 Unazijua amri: ‘Usizini; Usiue; Usiibe; Usitoe ushahidi wa uongo; Waheshimu baba yako na mama yako.’” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu20 Unazijua amri: ‘Usizini, usiue, usiibe, usishuhudie uongo, waheshimu baba yako na mama yako.’” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu20 Unazijua amri: ‘Usizini, usiue, usiibe, usishuhudie uongo, waheshimu baba yako na mama yako.’ ” Tazama sura |