Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 18:2 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

2 akasema, Palikuwa na kadhi katika mji fulani; hamchi Mungu wala hajali mtu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Alisema: “Katika mji mmoja kulikuwa na hakimu ambaye hakuwa anamcha Mungu wala kumjali binadamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Alisema: “Katika mji mmoja kulikuwa na hakimu ambaye hakuwa anamcha Mungu wala kumjali binadamu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Alisema: “Katika mji mmoja kulikuwa na hakimu ambaye hakuwa anamcha Mungu wala kumjali binadamu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Akawaambia, “Katika mji mmoja palikuwa hakimu ambaye hakumwogopa Mungu wala kumjali mtu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Akawaambia, “Katika mji mmoja alikuwepo hakimu ambaye hakumwogopa Mwenyezi Mungu wala kumjali mtu.

Tazama sura Nakili




Luka 18:2
14 Marejeleo ya Msalaba  

Na katika mji huo palikuwa na mjane aiiyemwendeaendea, akisema, Nipatie haki yangu, ukaniokoe na adui yangu.


Nae hakukubali muda wa siku kadha wa kadha; khalafu akasema moyoni mwake, Ijapokuwa mimi simchi Mungu wala sijali mtu;


Yule Bwana wa mizabibu akasema, Nifanyeje? Nitampeleka mwana wangu, mpendwa wangu, labuda wakimwona yeye watamheshimu.


Na pamoja na haya tulikuwa na baba za mwili wetu walioturudi, tukawastahi; bassi si afadhali sana kujitia chini ya Baba wa roho zetu na kuishi.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo