Luka 18:19 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192119 Yesu akamwambia, Mbona waniita mwema? Hakuna mwema illa mmoja ndiye Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Yesu akamwambia, “Mbona waniita mwema? Hakuna aliye mwema ila Mungu peke yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Yesu akamwambia, “Mbona waniita mwema? Hakuna aliye mwema ila Mungu peke yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Yesu akamwambia, “Mbona waniita mwema? Hakuna aliye mwema ila Mungu peke yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Isa akamjibu, “Mbona unaniita mwema? Hakuna yeyote aliye mwema ila Mungu peke yake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Isa akamjibu, “Mbona unaniita mwema? Hakuna yeyote aliye mwema ila Mungu peke yake. Tazama sura |