Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 18:18 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

18 Na mtu mkuhwa mmoja akamwuliza, akisema, Mwalimu mwema, nifanyeni nipate kuurithi uzima wa milele?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Kiongozi mmoja, Myahudi, alimwuliza Yesu, “Mwalimu mwema, nifanye nini ili niweze kuupata uhai wa milele?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Kiongozi mmoja, Myahudi, alimwuliza Yesu, “Mwalimu mwema, nifanye nini ili niweze kuupata uhai wa milele?”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Kiongozi mmoja, Myahudi, alimwuliza Yesu, “Mwalimu mwema, nifanye nini ili niweze kuupata uhai wa milele?”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Mtawala mmoja akamuuliza Isa, “Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Mtawala mmoja akamuuliza Isa, “Mwalimu mwema, nifanye nini ili niurithi uzima wa milele?”

Tazama sura Nakili




Luka 18:18
10 Marejeleo ya Msalaba  

Yesu akamwambia, Mbona waniita mwema? Hakuna mwema illa mmoja ndiye Mungu.


Ya nini kuniita Bwana, Bwana, nanyi hamyatendi niyanenayo?


kiisha akawaleta nje akasema, Bwana zangu, nifanye nini nipate kuokoka?


Walipoyasikia haya wakachomwa mioyo yao, wakamwambia Petro na mitume wengine, Tutendeje, ndugu zetu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo