Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 18:14 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

14 Nawaambia ninyi, huyu alishuka nyumbani kwake amepata kibali kuliko yule: kwa maana killa ajikwezae atadhilika; nae ajidhiliye atakwezwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Nawaambieni, huyu mtozaushuru alirudi nyumbani akiwa amesamehewa. Lakini yule mwingine, sivyo. Kwa maana kila anayejikweza atashushwa, na kila anayejishusha atakwezwa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Nawaambieni, huyu mtozaushuru alirudi nyumbani akiwa amesamehewa. Lakini yule mwingine, sivyo. Kwa maana kila anayejikweza atashushwa, na kila anayejishusha atakwezwa.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Nawaambieni, huyu mtozaushuru alirudi nyumbani akiwa amesamehewa. Lakini yule mwingine, sivyo. Kwa maana kila anayejikweza atashushwa, na kila anayejishusha atakwezwa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 “Nawaambia, huyu mtoza ushuru alirudi nyumbani akiwa amehesabiwa haki mbele za Mungu zaidi ya yule Farisayo. Kwa maana yeyote ajikwezaye atashushwa, na yeyote ajishushaye atakwezwa.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 “Nawaambia, huyu mtoza ushuru alirudi nyumbani akiwa amehesabiwa haki mbele za Mungu zaidi ya yule Farisayo. Kwa maana yeyote ajikwezaye atashushwa, na yeyote ajishushaye atakwezwa.”

Tazama sura Nakili




Luka 18:14
39 Marejeleo ya Msalaba  

Na ye yote atakaejikuza, atadhiliwa; na ye yote atakaejidhili, atakuzwa.


Wa kheri walio maskini wa roho; maana ufalme wa mbinguni ni wao.


Amewashusha wakuu katika viti, Amewakweza wanyonge.


Nae akitaka kujifanya ana haki akamwambia Yesu, Na jirani yangu ni nani?


Kwa maana killa ajikwezae atadhilika; nae ajidhiliye atakwezwa.


Akawaambia, Ninyi ndio watu wanaodai kuwa wenye haki mbele ya wana Adamu, lakini Mungu anajua mioyo yenu; kwa maana lililotukuka kwa wana Adamu, ni chukizo mbele ya Mungu.


kwa maana hapana mwenye mwili atakaehesabiwa kuwa na haki mbele za Mungu, kwa matendo ya sheria: kwa maanii kujua dhambi kabisa huja kwa njia ya sharia.


Lakini kwa mtu asiofanya kazi, bali anamwammi yeye ampae haki asiye mtawa, imani yake mtu huyo imehesabiwa kuwa haki.


BASSI tukiisha kuhesabiwa wema utokao katika imani, tuwe na amani kwa Mungu, kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo;


Ni nani atakaewashitaki wateule wa Mungu? Mungu ndiye awahesabiae haki.


tukijua ya kuwa mwana Adamu hafanyiziwi wema kwa matendo ya sharia, hali kwa imani ya Yesu Kristo, sisi tulimwamini Yesu Kristo illi tufauyiziwe wema kwa imani ya Kristo, wala si kwa matendo ya sharia; maana kwa matendo ya sharia hapana mwenye mwili atakaefanyiziwa wema.


Jidhilini mbele za Bwana, nae atawakuzeni.


Lakini atupa sisi neema nyingi zaidi; kwa hiyo asema, Mungu huwapinga wajikuzao, bali huwapa neemi wanyenyekevu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo