Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 18:12 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

12 Nafunga marra mbili kwa juma; nalipa zaka za mapato yangu yote.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Nafunga mara mbili kwa juma, natoa zaka sehemu ya kumi ya pato langu.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Nafunga mara mbili kwa juma, natoa zaka sehemu ya kumi ya pato langu.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Nafunga mara mbili kwa juma, natoa zaka sehemu ya kumi ya pato langu.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Mimi nafunga mara mbili kwa juma, na natoa sehemu ya kumi ya mapato yangu.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Mimi nafunga mara mbili kwa juma, na natoa sehemu ya kumi ya mapato yangu.’

Tazama sura Nakili




Luka 18:12
24 Marejeleo ya Msalaba  

Maana nawaambieni, Haki yenu isipozidi kuliko haki ya waandishi na Mafarisayo, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.


ANGALIENI msitoe sadaka zenu mbele ya watu, kusudi mtazamwe nao: kwa maana mkifanya kama hayo, hampati thawabu kwa Baba yenu aliye mbinguni.


Tena mfungapo, msiwe kama wanafiki wenye uso wa kukunjamana: maana hujiumbua nyuso zao, illi waonekane na watu kuwa wanafunga. Amin, nawaambieni, wamekwisha kupata thawabu yao.


Tena usalipo, usiwe kama wanafiki: kwa maana wapenda kusali wakisimama katika sunagogi na katika pembe za njia, illi waonekane na watu. Amin, nawaambieni, Wamekwisha kupata thawabu yao.


Wakati ule wanafunzi wa Yohana wakamwendea, wakinena, Kwa nini sisi na Mafarisayo twafunga marra nyingi, bali wanafunzi wako hawafungi?


Bali ole wenu Mafarisayo, kwa sababu mnalipa zaka za mnaana na mchicha, na killa mboga, mkaacha adili na upendo wa Mungu: iliwapaseni kuyafanya haya ya kwanza bila kuacha haya ya pili.


Kadhalika na ninyi, mkiisha kufanya vyote mlivyoamriwa, semeni, Sisi watumishi wasiofaa; tumetenda yaliyotupasa kutenda.


Ku wapi, bassi, kujisifu? Knmefungiwa mlango. Kwa sharia ya namna gani? Kwa sharia ya matendo? La! bali kwa sharia ya imani.


mwenye mwili aliye yote asije akajisifu mbele ya Mungu.


nami nalitangulia katika dini ya Kiyahudi kuliko wengi walio hirimu zangu katika kabila yangu, nikajitahidi sana katika kushika mapokeo ya baba zangu.


wala si kwa matendo, asije mtu awae yote akajisifu.


Jitahidi kupata utawa. Maana, kujitahidi kupata nguvu za mwili kwafaa kidogo, hali utawa hufaa kwa mambo yote; maana nna ahadi ya uzima wa sasa na wa ule utakaokuwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo