Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 17:8 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

8 La! kinyume cha hayo, atamwambia, Pakua chakula, nile; jifunge, unikhudumie hatta nikiisha kula na kunywa; na baada ya haya utakula na kunywa mwenyewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 La! Atamwambia: ‘Nitayarishie chakula, ujifunge tayari kunitumikia mpaka nitakapomaliza kula na kunywa, ndipo nawe ule na kunywa.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 La! Atamwambia: ‘Nitayarishie chakula, ujifunge tayari kunitumikia mpaka nitakapomaliza kula na kunywa, ndipo nawe ule na kunywa.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 La! Atamwambia: ‘Nitayarishie chakula, ujifunge tayari kunitumikia mpaka nitakapomaliza kula na kunywa, ndipo nawe ule na kunywa.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 Je, badala yake, hatamwambia, ‘Niandalie chakula, nile, jifunge unitumikie ninapokula na kunywa; baadaye unaweza kula na kunywa’?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 Je, badala yake, hatamwambia, ‘Niandalie chakula, nile, jifunge unitumikie ninapokula na kunywa; baadaye waweza kula na kunywa?’

Tazama sura Nakili




Luka 17:8
6 Marejeleo ya Msalaba  

Wa kheri watumishi wale ambao bwana wao ajapo atawakuta wanakesba. Amin, nawaambieni, atajifunga, atawaketisha, atakuja kuwakhudumia.


Lakini nani kwenu mwenye mtumishi anaelima, an anaeehunga kondoo? je! amwambia marra atakapoingia, akitoka mashamba, Njoo upesi, keti, ule chakula?


Je! amshukuru yule mtumishi kwa sahahu alifanya alivyoamriwa? Sidhani.


akaondoka chakulani, akaweka kando mavazi yake, akatwaa kitambaa, akajifungia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo