Luka 17:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 19214 na akikosa marra saba katika siku moja, akakurudia marra saba, akisema, Natubu, msamehe. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Na kama akikukosea mara saba kwa siku, na kila mara akarudi kwako akisema, ‘Nimetubu,’ lazima umsamehe.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Na kama akikukosea mara saba kwa siku, na kila mara akarudi kwako akisema, ‘Nimetubu,’ lazima umsamehe.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Na kama akikukosea mara saba kwa siku, na kila mara akarudi kwako akisema, ‘Nimetubu,’ lazima umsamehe.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Akikukosea mara saba kwa siku moja, na mara saba kwa siku moja akaja kwako akisema, ‘Ninatubu,’ msamehe.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Kama akikukosea mara saba kwa siku moja na mara saba kwa siku moja akaja kwako akisema, ‘Ninatubu,’ msamehe.” Tazama sura |