Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 17:4 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

4 na akikosa marra saba katika siku moja, akakurudia marra saba, akisema, Natubu, msamehe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Na kama akikukosea mara saba kwa siku, na kila mara akarudi kwako akisema, ‘Nimetubu,’ lazima umsamehe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Na kama akikukosea mara saba kwa siku, na kila mara akarudi kwako akisema, ‘Nimetubu,’ lazima umsamehe.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Na kama akikukosea mara saba kwa siku, na kila mara akarudi kwako akisema, ‘Nimetubu,’ lazima umsamehe.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Akikukosea mara saba kwa siku moja, na mara saba kwa siku moja akaja kwako akisema, ‘Ninatubu,’ msamehe.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Kama akikukosea mara saba kwa siku moja na mara saba kwa siku moja akaja kwako akisema, ‘Ninatubu,’ msamehe.”

Tazama sura Nakili




Luka 17:4
12 Marejeleo ya Msalaba  

La, hakusikia, chukua pamoja nawe tena mtu mmoja au wawili, illi kwa vinywa vya mashahidi wawili au watatu killa neno lithubutike.


Vivyo hivyo na Baba yangu wa mbinguni atawatenda ninyi, kama ninyi kwa mioyo yenu hamkusamehe killa mtu ndugu yake makosa yake.


bali mimi nawaambieni, Wapendeni adui zenu, wabarikini wanaowalaani, watendeni mema wanaowachukia, waombeeni wanaowatendea ukorofi, na kuwatesa;


Utusamehe deni zetu, kama sisi tunavyowasamehe wadeni wetu.


Mitume wakamwambia, Bwana, utuongezee imani yetu.


Bassi adui yako akiwa na njaa, mlishe; akiwa na kiu, mnyweshe; maana ufanyapo hivi, utampalia makaa ya moto kichwani pake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo