Luka 17:34 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 192134 Nawaambieni, Usiku ule watu wawili watakuwa katika kitanda kimoja, mmoja atatwaliwa, na mmoja ataachwa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema34 Nawaambieni, siku ile usiku watu wawili watakuwa wanalala pamoja, mmoja atachukuliwa na yule mwingine ataachwa. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND34 Nawaambieni, siku ile usiku watu wawili watakuwa wanalala pamoja, mmoja atachukuliwa na yule mwingine ataachwa. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza34 Nawaambieni, siku ile usiku watu wawili watakuwa wanalala pamoja, mmoja atachukuliwa na yule mwingine ataachwa. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu34 Nawaambia, usiku huo watu wawili watakuwa wamelala kitanda kimoja; naye mmoja atatwaliwa na mwingine ataachwa. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu34 Nawaambia, usiku huo watu wawili watakuwa wamelala kitanda kimoja; naye mmoja atatwaliwa na mwingine ataachwa. Tazama sura |