Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Luka 17:34 - New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921

34 Nawaambieni, Usiku ule watu wawili watakuwa katika kitanda kimoja, mmoja atatwaliwa, na mmoja ataachwa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

34 Nawaambieni, siku ile usiku watu wawili watakuwa wanalala pamoja, mmoja atachukuliwa na yule mwingine ataachwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

34 Nawaambieni, siku ile usiku watu wawili watakuwa wanalala pamoja, mmoja atachukuliwa na yule mwingine ataachwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

34 Nawaambieni, siku ile usiku watu wawili watakuwa wanalala pamoja, mmoja atachukuliwa na yule mwingine ataachwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

34 Nawaambia, usiku huo watu wawili watakuwa wamelala kitanda kimoja; naye mmoja atatwaliwa na mwingine ataachwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

34 Nawaambia, usiku huo watu wawili watakuwa wamelala kitanda kimoja; naye mmoja atatwaliwa na mwingine ataachwa.

Tazama sura Nakili




Luka 17:34
18 Marejeleo ya Msalaba  

Angalieni, nimetangulia kuwaambieni.


Bali ninyi mwe macho: nimekwisha kuwaonyeni yote mbele.


Petro akamwambia, Wajapochukizwa wote, lakini sio mimi.


Akawaambia, Jitahidini kuingia katika mlango ulio mwembamba; kwa maana nawaambieni ya kwamba watu wengi watatafuta kuingia nao bawataweza.


Nawaambieni sivyo: lakini msipotuhu nyote mtaangamia vivyo hivyo.


Nawaanibieni, Sivyo: lakini msipotubu, nyote mtaangamia vivyo hivyo.


Mtu ye yote atakaeisalimisha roho yake ataiangamiza, na mtu ye yote atakaeitoa ataihifadhi.


Wanawake wawili watakuwa wakisaga pamoja, mmoja atatwaliwa, na mmoja ataachwa.


Bwana ajua kuwaokoa wamchao na majaribu, na kuwaweka wasio haki katika hali ya adhabu hatta siku ya hukumu;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo